Kama wewe ni mpenzi wa simu za tecno na kwa muda mrefu umekuwa ukitaka kujua sifa na bei ya Tecno W4 basi ni vyema ukasoma hapa utapata kujua yote yanayohusu sifa za simu hiyo pamoja na bei yake halisi.

Sifa na Bei ya Tecno W4
- Ukubwa wa Kioo - Inch 5.0 chenye teknolojia ya IPS LCD capacitive touchscreen, chenye uwezo wa kuonyesha rangi miloni 16 pamoja na resolution ya 720 x 1280 pixels, 294 pixels per inch (PPI).
- Mfumo wa Uendeshaji - Android 6.0 Marshmallow
- Uwezo wa Processor - 1.3GHz quad-core Cortex-A53 CPU, MediaTek MT6735 chipset.
- Uwezo wa GPU - Mali-T720 GPU
- Ukubwa wa Ndani - GB 16 ikiwa na uwezo wa kuongezewa na memory card hadi ya GB 128.
- Ukubwa wa RAM - GB 1
- Uwezo wa Kamera ya Mbele - Megapixel 2.
- Uwezo wa Kamera ya Nyuma - Megapixel 8 yenye LED flash.
- Uwezo wa Battery - Battery inayotoka ya Li-Ion 2500mAh battery.
- Viunganishi - Wi-Fi 802.11 a/b/g/n, Bluetooth 4.2, A2DP, LE pamoja na GPS ya A-GPS, USB 2.0 On-The-Go.
- Rangi - Inakuja kwa rangi mbili za Black, Silver.
- Mengineyo - Inayo Radio FM, Inatumia Line Mbili za Dual SIM, Inayo sehemu ya kuchomeka headphone maarufu kama Headphone jack.
- Uwezo wa Mtandao - 2G, 3G na 4G
- Ulinzi - Haina Fingerprint.
BEI YA TECNO W4 NI TSH 150,000 HADI TSH 190,000